Prof Assad 'Kusiwe na Siri Katika Baraza la Mawaziri'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Aliyekuwa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Prof. Musa Assad, amesema ubadhirifu unaotokea kwenye Wizara huwa hauna maelezo zaidi ya kusema 'Ni maamuzi ya Baraza'

Amesema suala hilo linafanya kuwepo kwa mianya ya rushwa na matumizi mabaya ya mali za umma, hivyo ni vizuri kuwa na uwazi katika Baraza la Mawaziri

Ametolea mfano Nchi zilizoendelea kama #Dernmark ambapo taarifa zote za Baraza la Mawaziri huwekwa wazi ili Wananchi ili wajue kinachoendelea

Amesisitiza namna bora ya kupambana na rushwa na ubadhirifu katika ofisi za umma ni kuwa na uwazi

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad