AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aliyekuwa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Prof. Mussa Assad, amesema Watanzania huwa wanashiriki kupiga kura lakini hawashiriki Uchaguzi kwa maana ya kwamba kura haina maana katika Uchaguzi
-
Aidha, amesema ataweza kushiriki pindi mfumo mzima wa upigaji kura ukiwa wa kidigitali kwasababu ilivyo hivi sasa kuna udanganyifu mkubwa katika upigaji kura
#JamiiForums #Democracy #Siasa
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK