Prof Assad 'Sinta Piga Kura Tena, Labda Kuwe na Mfumo wa Kidigital'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Aliyekuwa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Prof. Mussa Assad, amesema Watanzania huwa wanashiriki kupiga kura lakini hawashiriki Uchaguzi kwa maana ya kwamba kura haina maana katika Uchaguzi
-
Aidha, amesema ataweza kushiriki pindi mfumo mzima wa upigaji kura ukiwa wa kidigitali kwasababu ilivyo hivi sasa kuna udanganyifu mkubwa katika upigaji kura

#JamiiForums #Democracy #Siasa
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad