Profesa Kabudi Aombwa Akalale Magereza "Ukimpeleka Kule Mtu Hana Hatia Huta Baki Salama"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mbunge wa Mlimba kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Godwin Kunambi, amemuomba Waziri wa Katiba na Sheria Profesa Palamagamba Kabudi, endapo itampendeza asiwe anaenda magereza kutembelea tu na kuondoka bali awe analala ili kuona hali na mazingira yalivyo huko.


Kauli hiyo ameitoa leo Aprili 28, 2021, Bungeni Dodoma, wakati akitoa mchango wake katika mjadala wa bajeti ya Wizara hiyo iliyosomwa Bungeni hii leo.


"Mh. Waziri nishauri kitu ikikupendeza usiende tu kutembelea magereza nenda kalale, amka asubuhi utaona habari ya magereza, ndugu zangu kama kuna jambo gumu ni magereza, ukimpeleka mwanadamu kule hana hatia kilio na masikitiko yake hutabaki salama, naomba tuwe na umakini mkubwa katika suala zima la utoaji wa haki", amesema Kunambi

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad