AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais wa Nigeria Mohammed Buhari amefanya mkutano mtandaoni na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken.
Akizungumzia kuongezeka kwa visa vya usalama barani Afrika wakati wa mkutano, Buhari aliitaka Marekani kuhamisha makao makuu ya Jeshi la Afrika l (AFRICOM) kutoka Stuttgart, Ujerumani kwenda Afrika.
Buhari, akitafuta msaada kutoka kwa jamii za kimataifa kwa Nigeria na nchi za Afrika Magharibi kupambana na shida za usalama, Buhari aliendelea kwa kusema kuwa,
"Maswala ya usalama nchini Nigeria yanaendelea kuwa wasiwasi mkubwa kwetu. Utata uliopo katika Sahel, Afrika ya Kati na Magharibi na vile vile Bonde la Ziwa Chad unatuathiri vibaya."
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK