Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Aagiza Pesa za Muungano Zigawiwe Bara na Zanzibar

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameelekeza fedha zilizotakiwa kutumika katika shughuli za Maadhimisho ya miaka 57 ya Muungano zigawanywe pande hizo mbili


Hayo yameelezwa na Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango leo Jijini Dodoma katika Kongamano la Miaka 57 ya Muungano. Ameongeza, kila upande utaamua namna ya kutumia fedha hizo kwa shughuli za maendeleo


Ameeleza, "Mwaka huu kutokana na tukio la hivi karibuni ambapo Nchi yetu iliondokewa na mmoja wa Mashujaa wake, Hayati Dkt. Magufuli, tuliamua badala ya Sherehe tuadhimishe Muungano kwa kuwa na Kongamano"

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad