RAY aingilia kati BIFU ya HARMONIZE na RAY VANNY, aandika haya mazito, mashabiki waunga mkono

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ray C Amefunguka Haya:


Tunawakubali kinyama!! sema mnatuletea Pwagu na Pwaguzi Taarabu......Na nyie ni watoto wa kiume afu mko juu vibayavibaya....Sasa!!!.Wakati mnapoteza muda kushushana na kuabishana wenzenu wanabebana mpaka kwenye magrammy!!!Ukumbi mshaachiwa sasa msituzingue na nyie....Afu kumbukeni hii ni insta. Na mna mashabiki nje ya bongo wanaowafuatilia. Msidhani hawaoni huu upupu wenu Wanaona yote na hao wasanii wa nchi jirani 🇳🇬ambao ndo mnaopambana nao kufika walipo nao wanayaona afu wanawachora KINYAMAA!Hapa ni Instagram, Sio Bongo!So mnachoposti na kinachotrend kinaonekana kote. Kwakweli mnajichoresha..Yani kwa kifupi NI NOMA.Hata kama ni mashindano sio kwa style hii mnazoleta na kiki zenu za ajabu ajabu......Hata hamfananii...MNAZINGUA KINOMA...Acheni hizo ingieni studio muendelee kutuwakilisha vile mlivyotuzoesha.Haya mnayofanya sasa ni ya kibwege sana afu YAKISHAMBA..

FOCUS......acheni hizo.Na mkilewa sifa za kibwege kama hizi mnakoelekea mtakuja kuwekeana hadi sumu mmalizane....Mkataeni huyo pepo mana kashawaingia!🚶‍♀️😤

 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad