RC Chalamila Ajihami 'Sipo tayari kufukuzwa kazi na Rais kisa mabango ya wananchi'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mkuu wa mko wa Mbeya Albert Chalamila amesema hayuko tayali kuona anafukuzwa kazi eti kwa sababu ya mabango yanayo onyesha kero za wananchi na badala yake amewataka watumishi wote waliochini yake katika Mkoa wake kwenda kuwasikiliza na kuwatatulia mahitaji yao na Wala wasisubiri viongozi wa juu kutatua changamoto hizo.



Mkuu huyo wa mkoa amesema hayo akiwa katika Wilayani Rungwe Halmashauri ya Busokelo, Kijiji cha Matamba Mkoani humo wakati akizungumza na wananchi pamoja na watumishi mbalimbali wa Serikali baada ya kufanya ziara ya kikazi ya kukagua Miradi ya Maendeleo wilayani humo.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad