google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Roma Mkatoliki Akumbuka Mateso Aliyopata Baada ya Kutekwa "Kwa Mapenzi ya Mungu Tuko Hai Wengi Wametangulia" | UDAKU SPECIAL

Roma Mkatoliki Akumbuka Mateso Aliyopata Baada ya Kutekwa "Kwa Mapenzi ya Mungu Tuko Hai Wengi Wametangulia"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Roma Ameandika Haya:


SIKU KAMA YA LEO #APRIL_7

NI MIAKA MINNE SASA IMEPITA.

#SITAISAHAU SIKU HII!!

WENGI WAMESHATANGULIA MBELE YA HAKI NA TUMEWAZIKA, KWA MAPENZI YAKE MUNGU TUKO HAI MPAKA WAKATI HUU!!

#ZABURI_73:14......

Maana mchana kutwa nimepigwa, Na kuadhibiwa kila asubuhi.

Kama ningalisema, Nitasimulia kama hayo, Kumbe! Ningaliwadanganya kizazi cha wana wako.

-Nami nalifikiri jinsi ya kufahamu hayo, Ikawa taabu machoni pangu!

-Hata nilipoingia katika patakatifu pa Mungu, Nikautafakari mwisho Wao!

-Hakika Wewe huwaweka penye utelezi, Huwaangusha mpaka palipoharibika.

-Namna gani wamekuwa ukiwa mara! Wametokomea na kutoweshwa kwa utisho.

-Eee Bwana, kama ndoto wakati wa kuamka, Uondokapo utaidharau sanamu yao.

MUNGU ANAZO SABABU ZAKE ZA KUTUWEKA HAI MPAKA SASA

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad