AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Roma Ameandika Haya:
SIKU KAMA YA LEO #APRIL_7
NI MIAKA MINNE SASA IMEPITA.
#SITAISAHAU SIKU HII!!
WENGI WAMESHATANGULIA MBELE YA HAKI NA TUMEWAZIKA, KWA MAPENZI YAKE MUNGU TUKO HAI MPAKA WAKATI HUU!!
#ZABURI_73:14......
Maana mchana kutwa nimepigwa, Na kuadhibiwa kila asubuhi.
Kama ningalisema, Nitasimulia kama hayo, Kumbe! Ningaliwadanganya kizazi cha wana wako.
-Nami nalifikiri jinsi ya kufahamu hayo, Ikawa taabu machoni pangu!
-Hata nilipoingia katika patakatifu pa Mungu, Nikautafakari mwisho Wao!
-Hakika Wewe huwaweka penye utelezi, Huwaangusha mpaka palipoharibika.
-Namna gani wamekuwa ukiwa mara! Wametokomea na kutoweshwa kwa utisho.
-Eee Bwana, kama ndoto wakati wa kuamka, Uondokapo utaidharau sanamu yao.
MUNGU ANAZO SABABU ZAKE ZA KUTUWEKA HAI MPAKA SASA
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK