Sasa Twitter bila VPN Tanzania… Watumiaji wafurahia uhuru huo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Watumiaji wa Mtandao wa Twitter Tanzania wameanza kuutumia mtandao huo leo bila kuhitaji kujiunga kwanza na Virtual Private Network (VPN) ambayo wamekua wakiitumia kwa zaidi ya miezi mitano sasa, tweets mbalimbali zimeandikwa na baadhi ya Watumiaji kuonesha kufurahishwa na maamuzi hayo.
Kuanzia mwishoni mwa October 2020 Mtandao huo wa Twitter kwa upande wa Tanzania haukuwa unafanya kazi katika mfumo wa kawaida hivyo iliwalazimu Watumiaji wote kuweka application za VPN kwenye simu zao kwanza ndio waweze kuutumia, miongoni mwa Watumiaji wa Twitter waliofurahia hatua hii ya leo ni Mwanzilishi wa Nala Money Benjamin Fernandes.

Benjamin ameandika “Happy Twitter Independence Day Tanzania 29/4/2021 finally, 7 months later Twitter unblocked in Tanzania”

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad