AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jeshi la Polisi linamshikilia Juma Emmanuel (53) Mkazi wa Nhelegani kwa tuhuma za kumbaka Mjukuu wake wakati Bibi wa Mtoto huyo akiwa amelazwa Hospitalini
-
Kamanda wa Polisi, ACP Debora Magiligimba amesema Mtuhumiwa alimchukua Mtoto usiku kutoka chumba cha Watoto na kumpeleka chumbani kwake kisha kumwingilia kimwili
-
Mtuhumiwa huyo atafikishwa Mahakamani mara baada ya upelelezi kukamilika, huku Jeshi likiwataka Wananchi kuendelea kutoa taarifa ili Ukatili dhidi ya Watoto ukomeshwe.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK