Simba na Vunjabei wasaini mkataba wa Bilioni 2 kwaajili ya jezi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Klabu ya @simbasctanzania yaingia mkataba wa Bilioni mbili na Vunja Bei kwaajili ya kufanya biashara ya kuuza jezi ya timu hiyo. Vunja Bei sasa watakuwa rasmi wauzaji wa jezi kwa timu zake zote. Miwani, Kasha za Simu, Kofia, Jezi na bidhaa nyingine nyingi zenye nembo ya Simba SC zitaanza kutengenezwa na Vunja Bei na kuuzwa rasmi kwa kupitia mkataba huo mnono wa Bilioni Mbili.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad