Simba yapigwa faini ya 500,000

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Timu ya Simba SC imetozwa faini ya sh 500,000 (laki tano) kwa kosa la washabiki wake kurusha chupa tupu na zenye maji uwanjani na kusababisha mpira kusimama kwa zaidi ya dakika tatu hadi Polisi walipoingilia kati kutuliza ghasia hiyo.



Tukio hilo lilitokea katika mchezo uliochezwa Aprili 24 2021 kwenye Uwanja wa Gwambina Mkoani Mwanza. Adhabu hii imetolewa kwa kuzingatia  kanuni ya 45 (1) ya Ligi Kuu kuhusu Udhibiti wa Klabu.




-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad