Stamina Awafungukia Wanafki Kwenye Maisha Yake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





MKALIwa Hip Hop Bongo, Bonaventure Kabogo ‘Stamina’ amesema yeyote anayeleta unafiki kwenye maisha yake huwa ana mblock.

 

Akizungumza na AMANI hivi karibuni, Stamina alisema kati ya watu ambao huwa hana mpango nao ni watu wenye hulka ya kung’ata na kupuliza (wanafki).

 

“Kwenye maisha yangu ukiniletea unafki mimi nakutia block tu, kwa sababu sina mchongo na mtu mnafki kabisa, huwa naelewana na watu ambao wanajielewa,”alisema Stamina.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad