Tanzia: Kifo cha mchezaji wa zamani wa Biashara United

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Kupitia ukurasa wa Instagram wa klabu ya Biashara United wameandika kwamba: Klabu ya BIASHARA UNITED MARA imepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha mchezaji wetu wa zamani BW. Sospeter Maiga Mandala

Hili ni pigo kwa familia ya mpira wa miguu, tunaungana na mashabiki wa Biashara United Mara familia ndugu jamaa na marafiki katika kipindi hiki kigumu.

Tunaomba Mwenyezi Mungu awape subira na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu na ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi, Ameen

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad