AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mama mzazi wa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP, Simon Nyakoro Sirro, Bi. Monica Tongori Nyabyamari amefariki dunia usiku wa kuamkia leo April 10 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikokuwa akipatiwa matibabu.
Kwa mujibu wa Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, SACP, David Misime, msiba upo nyumbani kwa IGP Sirro, Masaki Dar es Salaam, karibu na nyumbani kwa Hayati Benjamin W. Mkapa.
Taratibu za mazishi zinaendelea kufanyika nyumbani kwa marehemu katika Kijiji cha Kiabakari, Wilaya ya Butiama mkoa wa Mara.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK