Tarime: Watu watatu wafariki kufuatia kubomoka kwa daraja

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Mkuu wa Wilaya ya Tarime Mhandisi Mtemi Msafiri  amethibitisha kutokea kwa vifo vya Watu watatu kufuatia kubomoka kwa Daraja linalounganisha Barabara Kuu ya Mwanza – Sirari, kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha Mara—“wamekutwa wakiwa wamefariki baada ya Daraja kubomoka, uchunguzi unaendelea”alisema.

Barabara hii kuu Mwanza-Sirari kwa sasa hakuna mawasiliano baada ya daraja kukatika kutokana na mvua zinazonyesha sasa, magari makubwa yanalazimika kupitia mjini tani zake ni kubwa sana hivyo kuna ulazima mkubwa daraja hili kufanyiwa ukarabati mapema.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad