Twaha Kiduku amtwanga Mkongo katika pambano la uzito wa kati

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Twaha Kassim maarufu kama Twaha Kiduku amezidi kuonesha ubabe katika ulingo baada ya kumpiga Tshbangu Kayembe kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo katika pambano la round nane
Mchezo huo wa uzito wa Kati (Middle weight) ulichezwa usiku wa kuamkia Aprili 10, 2021 katika ukumbi wa Ubungo Plaza. Ikiwa na mapambano mengine saba ya utangulizi

Katika mmoja wa michezo ya utangulizi mtanzania Yonas Segu maarufu kama Black Mamba amepoteza mkanda wa WBF- African Champion Light Weight baada ya kupigwa kwa Technical Knock Out (TKO) na Mmalawi, Hannock Phiri

Awali pambano lilibidi kufanyika Machi 19, kutokana na maombolezo ya hayati Rais Magufuli ilibidi kusogezwa mbele hadi Aprili 9



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad