AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wafungwa 36 kati ya wafungwa 1,844 waliotoroka katika shambulizi kwenye gereza mnamo Aprili 5 wamejisalimisha katika jimbo la Imo la Nigeria.
Msemaji wa Gereza la Oweri James Maduba amesema katika taarifa kwamba juhudi zinaendelea kuwakamata wafungwa wengine waliotoroka katika shambulizi la gereza huko Owerri.
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Nigeria Rauf Aregbesola alisema wafungwa hawataadhibiwa kwa kutoroka ikiwa watajisalimisha.
Katika shambulizi hilo, wafungwa 1,844 walitoroka, wafungwa 35 walikataa kutoroka, magari 50 yalichomwa moto, na wakimbizi 6 walirudi kwa hiari yao.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK