Wakenya wavamia tena mtandao wa IMF wakiilaumu kuikopesha nchi yao

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kwa mara ya pili wiki hii, mtandao wa kijamii wa shirika la fedha duniani IMF umejipata ukivamiwa na ukosoaji kutoka kwa Wakenya,wanaolilaumu kwa kuendelea kuikopesha fedha nchi yao.

Matangazo mubashara ya ukurasa wa Facebook ya IMFyalijazwa na maoni ya Wakenya ambao hawataki madeni Zaidi yatolewe kwa serikali, wengi wao wakisema pesa nyingi zitafanyiwa ubadhilifu nana maafisa wa taifa lao.


Katika maoni yao, baadhi walielezea hofu kuhusumadeni ya umma ambayo yamefikia hadi dola bilioni 70 mwishoni mwa mwaka 2020.


Matangazo hayo yaliongozwa na Kristalina Georgieva MkurugenziMkuu wa IMF Alhamisi usiku yaliyomalizika baada ya dakika 23.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad