Waliochanjwa chanjo ya corona wazawadiwa msokoto wa bangi bure New York

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Wakazi wa New York jijini Marekani ambao wamekuwa wakichanjwa chanjo ya Covid-19 waliweza kupata zawadi ambayo haikutarajiwa siku ya Jumanne: Msokoto wa bangi.
Wanaharakati wanaosherehekea kuidhinishwa rasmi kwa bangi katika jimbo la New York walimpatia msokoto wa bangi wa bure mtu yeyote mjini Manhattan aliyethibitisha kuwa alipokea walau dozi moja ya chanjo moja ya corona.

"Hii ni mara ya kwanza tunaweza kuketi pamoja na kuwapatia kisheria watu bangi," alisema Michael O'Malley, mmoja wa waandalizi wa ‘’utoaji wa bangi’’ katika Union Square.

"Tunaunga mkono juhusi za shirikisho za utoaji wa chanjo. Na pia tunajaribu kuhamasisha wahalalishe kisheria matumizi ya mmea wa bangi katika nchi nzima ," aliliambia shirika la habari la AFP.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad