Wanawake Wanaojihusisha na Biashara ya Ngono Dar Kupelekwa Chanika Kujiendeleza Kiuchumi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema amesema wamekuja na mkakati wa kuwakamata na kuwawezesha Wanawake wanaofanya biashara ya ngono kwa kuwaweka katika eneo moja lililopo Chanika ili waweze kufanya shughuli za kilimo na ufugaji

Biashara hiyo imeonekana kushika kasi Wilayani Ilala na ugumu wa maisha umetajwa kuwa sababu kubwa ya Wanawake hao kufanya vitendo hivyo

Amesema mkakati huo unalenga kudhibiti biashara hiyo ambayo ni kinyume na maadili ya Watanzania, na Wanawake watapata fursa ya kutengeneza fedha kihalali na kujijenga kiuchumi

Kwa mujibu wa DC Mjema, wapo mbioni kukamilisha taratibu za kuandaa eneo hilo na utakapokamilika, Wanawake watakaokamatwa watafikishwa hapo moja kwa moja na kufundishwa mbinu za kujiendeleza
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad