Watu 15 Wamefariki Kwenye Ajali ya Gari

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Watu wapatao 15 wamefariki katika ajali ya gari iliyotokea barabara ya Mombasa-Malindi nchini Kenya.

 

Watu wengine ishirini wamejeruiwa katika ajali hiyo iliyotokea mapema asubuhi ya leo katika ajali hiyo iliyohusisha mabasi mawili.

 



Madereva wa magari yote mawili wamefariki dunia hapo hapo. Mashaidi wa ajali hiyo wamesema sehemu ambayo ajali hiyo imetokea katika eneo lililokuwa katika ujenzi.

 
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad