AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Watumiaji wa Mtandao wa Twitter Tanzania wameanza kuutumia mtandao huo leo bila kuhitaji kujiunga na Virtual Private Network (VPN) ambayo wamekua wakiitumia kwa zaidi ya miezi mitano sasa, tweets mbalimbali zimeandikwa na baadhi ya Watumiaji kuonesha kufurahishwa na maamuzi hayo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK