“Kwa wale Wafanyabiashara ambao walishaanza kuona nikiweka hela yangu ikaonekana mtandaoni labda itachukuliwa yote, nitoe rai warudishe fedha kwenye Mabenki, zitaliwa mchwa huko na panya bila sababu, uchumi wa kisasa sio wa kuweka fedha kwenye boksi, kodi itatozwa tu sehemu ya fedha inayotakiwa kukusanywa”-Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba akiwa Dodoma leo
Tazama Hapa Chini Msanii Rosa Ree Akimkemea Shetani:
DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL => HAPA KUPATA HIZI HABARI KWENYE SIMU YAKO HATA BILA BUNDLE
0 Comments