Yanga yakanusha taarifa za kuandaa maandamano

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Uongozi wa Klabu ya Yanga unakanusha taarifa za kuandaa maandamano ambazo zimetolewa na kusambazwa kwenye mitandao ya Kijamii.

Uongozi unawataka Wanachama, Wapenzi na Mashabiki kupuuza taarifa hiyo na kuwataka kuwa watulivu katika kipindi hiki ambacho uongozi unaendelea kufanya jitihada za kushukhulikia masuala yote yanayoihusu Klabu kwa Misingi na Taratibu zilizowekwa kisheria.

Aidha uongozi unaviomba vyombo vya ulinzi na usalama kulishukhuliki taarifa hizi potofu kwa mujibu wa sheria.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad