Ajali ya Ndege ya Kijeshi Marekani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Rubani mmoja ameripotiwa kufariki kutokana na ajali ya ndege ya kijeshi iliyotokea ilipokuwa ikipaa kutoka kituo cha Jeshi la Anga cha Nellis katika jimbo la Nevada nchini Marekani.

Ndege hiyo ya kijeshi, ambayo ilipaa kutoka kituo cha Jeshi la Anga cha Nellis, ilianguka hapo jana mwendo wa saa 14:30 kwa sababu isiyojulikana.


Kikosi cha jeshi la Anga cha Nellis kilitangaza kuwa ndege hiyo ilikuwa inamilikiwa na Draken US, kampuni ya Florida iliyopewa kandarasi ya kutoa msaada wa anga, na rubani wake ambaye hakufahamika alifariki.


Wakati huo huo, Draken US ilitoa maelezo juu ya ajali hiyo kwa kusema,


"Tunafanya kazi kwa karibu na maafisa wa shirikisho, serikali na utawala wa mitaa. Vile vile Draken US inashirikiana na mashirika ya uchunguzi ili kutambua chanzo kilichosababisha ajali hii mbaya."

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad