Alikiba "Ntaenda Kigoma kumpa support Nandy anajituma sana anahitaji kupewa nguvu"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Baada ya msanii wa Bongo Fleva Nandy kuanzisha taamsha lake la NANDY FESTIVAL na katika tamasha hilo kuna baadhi ya wasanii ambao watakuwepo na miongoni mwao akiwa ni Alikiba, Kupitia ukurasa wake wa Twitter Alikiba ameandika kuwa :



“Sanaa yetu ina upungufu wa wasanii wa kike, inabidi waliopo wapewe nguvu ili waweze kufanikiwa zaidi.

@officialnandy
ni msanii anayejituma na mwenye jitihada. Napenda anachofanya na ndio maana Jumamosi ijayo nitaenda nyumbani Kigoma kumpa support katika #NandyFestival #StrongGirl”
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad