BREAKING News: Huduma ya kununua LUKU kupitia simu za mkononi yarejea

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Huduma ya ununuaji umeme kielektroniki kupitia simu za mkononi yarejea baada ya kukosekana kwa siku tatu na kuacha wananchi wakilalamika.

Awali huduma hii ilikuwa ikipatikana katika ofisi za TANESCO ngazi ya mikoa na wilaya ila sasa imerejea na inapatikana katika mitandao yote ya simu.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad