google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Davido Atuhumiwa kwa Wizi | UDAKU SPECIAL

Davido Atuhumiwa kwa Wizi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mtumiaji wa Twitter aliyejitambulisha kama “Thug Life” alimtuhumu Superstar huyo wa afrobeats kuwa mwaka 2020 aliiba kazi ya Victor AD baada ya Davido kusikia wimbo huo wakiwa studio wanarekodi wimbo wa Victor AD 'Tire You'  na baada ya hapo inadaiwa alimzumzuia (block)  kwenye mitandao yote ya kijamii.

Sio Davido wala Victor AD wametoka kuthibitisha taarifa hizi ambazo zinaendelea kasambaa kupitia mtandao wa Twitter


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad