AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mashabiki wa muziki bila shaka wameshaanza kunusa harufu ya muziki mzuri kutoka kwa muimbaji wa Tanzania @daynanyange pamoja na staa mkubwa wa muziki Afrika kutoka Nigeria @davido .
Dayna alipost picha mtandaoni na kuonyesha ishara huwenda kuna kitu kikubwa kinakuja kutoka kwa wawili hao ambao walikutana nchini Nigeria.
Mapema wiki hii Nyange alitakangaza kuja kivingine kwenye muziki wake akiwa na ngoma nyingi chini ya uongozi wake mpya.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK