Diamond alamba dili lingine, miezi miwili madili makubwa mawili

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Kupitia ukurasa wake wa Instagram staa wa Bongo Fleva @diamondplatnumz amethibitisha kusaini dili na kampuni ya Warner Music kutoka nchini Afrika Kusini. Ikumbukwe april 9 alitangaza kusaini dili lingine na kampuni ya muziki ya Mziiki ambalo alieleza kuwa ni dola milino 5 sawa na zaidi ya bilioni 10 za Kitanzania.

Licha ya dili lililopita kutaja kiasi cha fedha alichosaini na Mziiki awamu hii hajataja kiasi chochote na je ni kwa ajili yake pekee au pamoja na wasanii wote wa WCB kama ilivyokuwa kwa #Mziiki?


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad