Esma Platnumz Amkataa Mazima Uchebe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Miongoni mwa habari zilizotikisa wiki hii ni pamoja na dada wa staa wa Bongo Fleva Nasibu Abdul‘Diamond’ Esma Khan kumkataa hadharani aliyekuwa mume wa mwanamuziki Zuwena Mohammed ‘Shilole’ Ashraf uchebe.

Mrembo huyo mwenye watoto wawili wa kike, alisema kuwa Uchebe amekuwa akimfuatilia pale dukani kwake kwa muda mrefu lakini hawezi kuolewa na mwanaume ambaye hajielewi, ambaye muda wote anawaza ku –trendi tu.“

Mimi siwezi kuolewa na Uchebe, mwanaume gani kwanza yeye muda wote anawaza kutrend tu, yaani huyu Uchebe hana mapenzi ya kweli shida yake ni ku-trend tu huko mitandaoni sasa kwa hilo amefeli hawezi kunipata hata iweje”- alisema Esma

ZIMEANDALIWA NA MEMORISE RICHARD

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad