Hivi Ndivyo Makka ilivyombadilisha Ommy Dimpoz

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


 

Safari ya mjini Makka nchini Saudia Arabia ya siku kadhaa alizozitumia msanii Ommy Dimpoz kwa ajili ya ibada inawezekana kuwa imebadilisha kwa kiasi kikubwa mtindo wa maisha kwa msanii huyo.

Dimpoz tangu amerejea nchini ameonekana kuwa tofauti kuanzia muonekano wake wa mavazi na jumbe ambazo amekuwa aki-share kwenye mitandao yake ya kijamii ukilinganisha na hapo awali kabla hajaenda kuungana na waumini mbalimbali wakiislamu duniani kote kufanya ibada ya Umrah mwezi Mei 9.

Moja ya ujumbe wake unasema; ‘Tusichoke kumuomba na kumtegemea Mwenyezi Mungu kila kitu kinawezekana chini ya Jua’.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad