Hongera mtani, umepambana – Dismas Ten

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Aliyekuwa Afisa Habari wa Klabu ya @yangasc Dismas Tena amewapa hongera watani zao @simbasctanzania kwa kupambana katika mchezo wao dhidi ya Kaizer Chiefs licha ya kujali matokeo.



“Sijali kuhusu matokeo, kitu muhimu ni namna ulivyo pambana hongera mtani kwenye hili la kimataifa ni wazi umekomaa. Turejee kwenye ligi tujiandae kwa mashindano hayo ya kimataifa mwakanj, kwa pamoja tuunganishe nguvu tuvuke pale ulipofikia.” – ameandika @dismasten

Licha ya ushindi huo wa magoli 3 – 0 lakini #simbasc haikuweza kufuzu hatua ya robo fainali na kutokana na kuruhusu magoli 4 – 0 kwenye mchezo wao wa kwanza pale Afrika Kusini.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad