google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Huyu hapa mwamuzi wa mechi ya simba na Kaizer Chiefs kesho | UDAKU SPECIAL

Huyu hapa mwamuzi wa mechi ya simba na Kaizer Chiefs kesho

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




PACIFIQUE Ndabihawenimana mwenye umri wa miaka 36, ndiye anatajwa kusimama kuamua vita ya kesho kati ya Simba dhidi ya Kaizer Chiefs katika mchezo wa marudiano wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Mburundi huyo anatajwa kuwa na rekodi ya msimamo mkali na urahisi wa kutoa adhabu ikiwemo kadi za njano na nyekundu, lakini pia kuhimili presha ya mchezo.

Simba Jumamosi iliyopita wakicheza ugenini katika uwanja wa FNB (Soccer City), katika mchezo wa mkondo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika walikumbana na kipigo cha mabao 4-0 ambayo yameweka rehani nafasi yao ya kutinga nusu fainali ya michuano hiyo.

Simba ina deni kubwa la kuhakikisha wanashinda mchezo wa kesho Jumamosi kwa tofauti ya mabao 5-0 ili kufufua matumaini yao ya kucheza hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad