Irene Paul "Natamani Tumpigie Kura Diamond Ashindi Alafu Mengine Tutajadili Baadae"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


''TANZANIA YETU.....LETS VOTE Ifike mahali tuthamini juhudi za mtu binafsi katika kuleta heshima kwa taifa letu na tuache mengine yote pembeni,hebu tufikie stage kukubali kwamba at the end of the day huyu ndio "NEMBO NA KINARA" ya mziki wa Tanzania kwa sasa.

Sikatai na wala sipingi kuwa kuna wengi wazuri zaidi yake na kuna wanaofanya vizuri lakini haitatosha kumvua #platnumz heshima aliyotuletea kama Tanzania pamoja na mengine yote yanayoendelea,WENGI WATAFUATA LAKINI NI BAADA YA YEYE KUCHORA RAMANI YA JINSI INAVYOFANYIKA.

Ninatamani tumpigie kura kwanza huko kwa #BET then turudi nyumbani tuongee tunayojisikia maana at the end of the day tutakuwa tumeshatambulika zaidi na kujulikana kama Tanzania. LETS VOTE and VOTE and VOTE again....tupeperushe Tanzania yetu. N.B :jamani kwa wale wa ma team na maneno machochezi post hii haiwahusu🙏🏼 '' @irenepaul001

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad