Kijana wa Arusha afunga ndoa na Mtoto wa TB Joshua c

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mtoto wa Nabii maarufu nchini Nigeria Temitope Balogun Joshua maarufu kama TB Joshua,Serah Joshua amefunga ndoa na kijana wa kitanzania Brayani Moshi aliyekuwa anaishi Ungalimited Arusha katika parokia ya Moyo safi wa bikira Maria iliyopo Ungalimited

Padri aliyefungisha ndoa hiyo Festus Mangwangi amesema vijana hao walikutana masomoni Marekani na kwamba kijana huyo alikuwa anaishi Ungalimited

“Kule Nigeria ilikuwa ndoa ya kiserikali Kule Dubai walifunga ndoa ya kipentecoste maana huyu binti ni mpentekoste ndio maana wamekuja kufunga hapa ili Brayani aendelee kuwa mkatoliki”-Padri Mangwangi

Baba mdogo wa Brayani anayefahamika kwa jina la Victor amesema amefurahia kijana wao kufunga ndoa na binti huyo kutoka nchini Nigeria.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad