Kikosi cha Simba chatua salama Mtwara

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA






KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Didier Gomes leo Mei 28 kimewasili Mtwara ili kuunganisha safari kuelekea Ruangwa.
Kesho Mei 29 kina kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya Namungo FC, mchezo wa Ligi Kuu Bara,

Ni mchezo wa kwanza kwa Namungo v Simba kumenyana ndani ya Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2020/21.

Miongoni mwa wachezaji ambao wapo kwenye kikosi hicho ni pamoja na Chris Mugalu, Meddie Kagere, Taddeo Lwanga.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad