AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu Didier Gomes leo Mei 17 kimewasili salama Tanzania kikitokea nchi Afrika Kusini.
Kimeongonzana na viongozi wake ikiwa ni pamoja na Crestius Magori ambaye alikuwa Kwenye msafara huo.
Afrika Kusini kilipoteza kwa kufungwa mabao 4-0 dhidi ya Kaizer Chiefs hivyo kinarudi kwa ajili ya maandalizi ya robo fainali ya pili ya marudio katika Ligi ya Mabingwa Afrika.
Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Mei 22, Uwanja wa Mkapa.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK