Kimenuka..Meya aagiza Milioni 3.2 za kununua bastola ya Mkurugenzi zirudishwe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Meya wa manispaa ya Moshi, Juma Raibu ameagiza Milioni 3.2 zilizotengwa na Halmashauri ya Manispaa hiyo kwa ajili ya kununua bastola ya Mkurugenzi zirejeshwe.


Raibu ametoa tamko hilo katika kikao cha Baraza la Madiwani kilichofanyika katika Ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Dk. Stephen Kagaigai ambaye pia alishiriki kikao hicho.


Amesema fedha hizo zilipitishwa na halmashauri hiyo mwaka 2015 na kubainisha kuwa ni matumizi mabaya ya fedha za umma.


“Kuna fedha zilipitishwa mwaka 2015 kiasi cha Sh3.2 Milioni kwenye akaunti ya Halmashauri kununua bastola ya Mkurugenzi, haya  ni matumizi mabaya ya fedha za umma, nimeagiza fedha hizi zirudishwe mara moja,” Raibu.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad