Kuna tatizo kwenye kununua LUKU- TANESCO

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limeomba radhi wateja wake kutokana na hitilafu iliyotokea kwenye Mfumo wa Manunuzi ya Umeme wa LUKU.
Hitilafu hiyo imetokea kuanzia Mei 17, 2021 na kusababisha baadhi ya wateja kushindwa kununua umeme.

TANESCO imeomba uvumilivu kwa muda huu ambao tatizo linaendelea kutatuliwa.

“Tunawaomba radhi kutokana na hitilafu iliyotokea kwenye mfumo wa manunuzi ya umeme wa LUKU siku ya Jumatatu, Mei 17, 2021 na kusababisha baadhi ya wateja kushindwa kununua umeme. Tunaomba uvumilivu wakati wataalamu wetu wanafanya kazi kuhakikisha tatizo hilo linatatuliwa haraka” TANESCO 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad