Maajabu: Hana Mikono, Ila Analima, Anapokea Simu, Anaogelea

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



GLOBAL TV imefunga safari mpaka mkoani Tabora nyumbani kwa kijana, Hamis Lubonda, ambaye ni mlemavu asiye na mikono yote miwili.

Kitu kikubwa kinachowavutia watu kwa bwana Hamis ni uwezo wake wa kufanya kila kitu licha ya kuwa mlemavu, ana uwezo wa kulima, kupokea simu, kuwasha moto, kuogelea na vitu vyote vinavyofanywa na binadamu mwenye utimilifu wa viungo.

 
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad