"Majani Alikuwa Hana imani na Mimi" - Producer Lamar

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Producer wa muziki wa BongoFleva Lamar Fishcrab amesema kabla ya kuwa mtayarishaji wa muziki alikuwa rapa na msanii aliyekuwa anamtazama kwa kipindi hicho alikuwa ni Bow Wow kutoka nchini Marekani. 

Pia kupitia heshima ya BongoFlava kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio, Producer Lamar amesema yeye na Producer P Funk Majani ni mtu na binamu yake lakini Majani alikuwa hana imani naye kwenye upande wa utayarishaji wa muziki japo alimuonesha kwamba anaweza kuandaa muziki.

Lakini Baadaye Producer Dunga ndiye aliyempa imani P Funk Majani mpaka kuanza kumkubali na kumuamini Lamar amekwiva kuwa mtayarishaji wa muziki.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad