Mashindano yamalizika kwa maafa China

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA






Mashindano ya mbio yamemalizika kwa maafa nchini China.


Washindani 21 wamepoteza maisha yao kutokana na hali mbaya ya  hewa katika mbio za kilometa 100, ambazo pia zilijumuisha kupanda mlima.



Katika marathoni iliyoanza katika jimbo la Gansu Jumamosi asubuhi, wanariadha 172 walianza kukimbia kama ishara ya kuanza.



Walakini, wakati wa mbio za kilometa 100, hali ya hewa ilizorota ghafla, ikawa baridi na mvua ikaanza kunyesha, na kupelekea wanariadha kukwama katika eneo hilo



Baada ya hali hiyo kutokea , operesheni ya kuokoa wanariadha ilianza.



Wanariadha 151 kati ya 172 wameokolewa, wakati 21 wamepoteza maisha.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad