Maua Sama: Wasanii Msitufokee!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Maua Sama amewataka wasanii wenzake waache mikwara kwenye kazi.

 

Akizungumza na MIKITO NUSUNUSU, Maua ambaye kwa sasa anatamba na ngoma ya Wivu aliyofanya na Aslay, amesema kuwa unakuta msanii anaposti hata yupo nchi za nje na msanii mkubwa na kusema kolabo inakuja halafu unashangaa mwaka mzima hola.

 

“Wasanii jamani tuwe tunapunguza mikwara tutakuja kuuana kwa presha kwa kweli maana unakuta msanii anaposti hata yupo na msanii wa nje ya nchi anaandika kolabo ipo njiani kubwa ni wamepiga picha tu,” alisema Maua.

 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad