Mbunge Mwijage "Nashindwa Kwenda Misiba ya WATOTO Wananiona Mimi Mchawi..Nisaidieni"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mbunge wa Muleba Kaskazini, Charles Mwijage amesema Wananchi wanamwona kama mchawi kutokana na Wanafunzi kufariki wakisafiri kwenye Mitumbwi wakati wa kwenda Shuleni kwasababu yeye ndiye aliyehamasisha Watoto kupelekwa Shule


Ameiomba Serikali kupitia Wizara ya Elimu na TAMISEMI kupeleka fedha kwa ajili ya ujenzi wa Mabweni katika Shule ya Bumbile ili Wanafunzi waache kusafiri kila mara kwenda Shuleni


Ameongeza kuwa yeye pamoja na Wataalamu walinusurika kifo mwezi Februari kwasababu kutulia au kuvurugika kwa Ziwa hakutabiriki na hali huweza kubadilika wakati wowote tu

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad