AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Hawa Mchafu, amesema kama nguvu zaidi ingetumika kujadili masuala ya #Afya ikiwemo kupima VVU, huenda vita dhidi ya Ugonjwa huo ingekuwa nyepesi
Ameongeza "Wanaume wa #Tanzania wanatumia muda mwingi kujadili Usimba na Uyanga, hawapimi VVU na hawataki kupima, hivi ingetumika muda huo kuzungumza masuala ya kupima Afya zao si tungeshinda"
Akieleza zaidi, amesema tatizo lipo kwa Wanaume waliooa ambao hutegea Wake zao wapime ndio nao wapate majibu na kujipa matumaini wakati kinga za mwili zinatofautiana.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK