Metacha Mnata Kupewa Mkataba Mpya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


KIPA namba moja wa Yanga, Metacha Mnata inaelezwa kuwa anaandaliwa mkataba mpya ili aweze kusaini dili jipya.

Nyota huyo hivi karibuni ilielezwa kuwa anahitaji kusepa ndani ya Yanga kutokana na kutuhumiwa kwamba anacheza chini ya kiwango jambo ambalo lilimkasirisha nyota huyo.

Mechi ambayo ilileta utata ni ile ya sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Polisi Tanzania ambapo ilikuwa ni Fiston Abdulazack alianza kufunga bao la Polisi Tanzania likafungwa dakika za lala salama na kuwafanya Yanga kugawana pointi mojamoja.

Suala hilo lilifanuliwa na Mwenyekiti wa Yanga, Mshindo Msolla kwamba hawakuwahi kumtisha hivyo yalikuwa ni maneno ambayo hayana ukweli.

“Mnata, (Metacha) kwa sasa anaweza kupewa mkataba mpya kwa kuwa hakuna tofauti ambazo zipo, ni kwamba mkataba wake upo ukingoni ila maboresho yatafanyika,” ilieleza taarifa hiyo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad