Meya, Mkurugenzi Kinondoni Wavurugana Mkutanoni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 
MKURUGENZI wa Manispaa ya Kinondoni na Meya wamefarakana baada ya kuibuka kwa hoja kutoka kwa mmoja wa madiwani ya viongozi wa Serikali waliokamatwa hivi karibuni kwa kudaiwa kufuja fedha za makusanyo ya Serikali na kuswekwa ndani ambapo wakati akijibu hoja hizo mkurugenzi amesema kuwa aliagiza vyombo vya ulinzi viwakamate kutoka na ubadhilifu wa fedha hizo.

 

Mkurugenzi amekazia kwamba yeye anatekeleza majukumu yake katika kuhakikisha anatekeleza wajibu wake. Pia akasema vikao vya madiwani vimekuwa vikimjadili kwa maslahi yao binafsi na ndipo mgogoro ukaibuka ndani ya kikao cha baraza la madiwani.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad