Mkali Wenu: Mtoto wa Amber Lulu, ni wa Harmorapa Kweli

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





MUIGIZAJI maarufu wa vichekesho nchini, Mkali Wenu, amezungumzia sakata la Amber Lulu na Hamorapa huku akieleza kuwa ana uhakika mtoto wa Amber ni wa Harmorapa kama ambavyo mwenyewe alijitokeza mitandaoni na kudai hivyo.

 

Harmorapa ambaye amekuwa haishiwi vituko na kiki, alidai kuwa mtoto wa Amber Lulu ni wake lakini baadaye lilitokea varangati akakamatwa na anayesemekana ni baba wa mtoto huyo, aitwaye Botion lakini baadaye Botion naye alikamatwa na polisi kwa tuhuma za kumshushia kisago Harmorapa.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad